Kumbukumbu la Torati 7:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nawe unajua vema kwamba Yehova Mungu wako ndiye Mungu wa kweli,+ yule Mungu mwaminifu,+ anayeshika agano+ na fadhili zenye upendo kwa wale wanaompenda na wale wanaoshika amri zake mpaka vizazi elfu,+ Zaburi 100:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana Yehova ni mwema;+Fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo,+Na uaminifu wake ni wa kizazi baada ya kizazi.+ 1 Wakorintho 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mungu ni mwaminifu,+ aliyewaita kuingia katika ushirika+ pamoja na Mwana wake Yesu Kristo Bwana wetu. 1 Petro 4:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hiyo, basi, acheni wale wanaoteseka kwa kupatana na mapenzi ya Mungu waendelee kuzikabidhi nafsi zao kwa Muumba mwaminifu wanapotenda mema.+
9 Nawe unajua vema kwamba Yehova Mungu wako ndiye Mungu wa kweli,+ yule Mungu mwaminifu,+ anayeshika agano+ na fadhili zenye upendo kwa wale wanaompenda na wale wanaoshika amri zake mpaka vizazi elfu,+
5 Kwa maana Yehova ni mwema;+Fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo,+Na uaminifu wake ni wa kizazi baada ya kizazi.+
9 Mungu ni mwaminifu,+ aliyewaita kuingia katika ushirika+ pamoja na Mwana wake Yesu Kristo Bwana wetu.
19 Kwa hiyo, basi, acheni wale wanaoteseka kwa kupatana na mapenzi ya Mungu waendelee kuzikabidhi nafsi zao kwa Muumba mwaminifu wanapotenda mema.+