Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 6:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nami nilikuwa nikimtokea Abrahamu,+ Isaka+ na Yakobo+ kama Mungu Mweza-Yote,+ lakini kuhusu jina langu Yehova+ sikujifanya nijulikane+ kwao.

  • Kutoka 15:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Yehova ni mtu wa vita+ anayetenda kiume. Yehova ndilo jina lake.+

  • Yeremia 32:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Wewe unayeonyesha fadhili zenye upendo kuelekea maelfu,+ na kulipa kosa la akina baba katika vifua vya wana wao baada yao,+ Mungu wa kweli, aliye Mkuu,+ Mwenye nguvu,+ Yehova wa majeshi+ ndilo jina lake,+

  • Amosi 5:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Mtengenezaji wa kundi-nyota la Kima+ na kundi-nyota+ la Kesili,+ na Yeye ambaye anageuza kivuli kizito+ kiwe asubuhi, na Yeye ambaye amefanya mchana uwe na giza kama usiku,+ Yeye ambaye anaita maji ya bahari, ili ayamwage kwenye uso wa dunia+—Yehova ndilo jina lake;+

  • Amosi 9:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “ ‘Yeye anayejenga ngazi zake huko mbinguni,+ na jengo lake juu ya dunia ambayo ameiwekea msingi;+ yeye anayeyaita maji ya bahari,+ ili ayamwage juu ya uso wa dunia+—Yehova ndilo jina lake.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki