18 Wewe unayeonyesha fadhili zenye upendo kuelekea maelfu,+ na kulipa kosa la akina baba katika vifua vya wana wao baada yao,+ Mungu wa kweli, aliye Mkuu,+ Mwenye nguvu,+ Yehova wa majeshi+ ndilo jina lake,+
8 Mtengenezaji wa kundi-nyota la Kima+ na kundi-nyota+ la Kesili,+ na Yeye ambaye anageuza kivuli kizito+ kiwe asubuhi, na Yeye ambaye amefanya mchana uwe na giza kama usiku,+ Yeye ambaye anaita maji ya bahari, ili ayamwage kwenye uso wa dunia+—Yehova ndilo jina lake;+
6 “ ‘Yeye anayejenga ngazi zake huko mbinguni,+ na jengo lake juu ya dunia ambayo ameiwekea msingi;+ yeye anayeyaita maji ya bahari,+ ili ayamwage juu ya uso wa dunia+—Yehova ndilo jina lake.’+