Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 14:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Ndipo akambariki na kusema:

      “Abarikiwe Abramu wa Mungu Aliye Juu Zaidi,+

      Yeye aliyezitokeza mbingu na dunia;+

  • Zaburi 102:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Wewe uliiweka misingi ya dunia zamani za kale,+

      Nazo mbingu ni kazi ya mikono yako.+

  • Isaya 45:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa maana Yehova, Muumba wa mbingu,+ Yeye Mungu wa kweli,+ Mfanyizaji wa dunia na Mtengenezaji wake,+ Yeye aliyeifanya imara,+ ambaye hakuiumba tu bila sababu, ambaye aliiumba ili ikaliwe na watu,+ amesema hivi: “Mimi ni Yehova, wala hakuna mwingine.+

  • Ufunuo 10:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 naye akaapa kwa Yule anayeishi+ milele na milele,+ aliyeiumba mbingu na vitu vilivyo ndani yake na dunia+ na vitu vilivyo ndani yake na bahari na vitu vilivyo ndani yake:+ “Hakutakuwa tena na kukawia;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki