Kutoka 15:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nguvu zangu na uwezo wangu ni Yah,+ kwa maana yeye ndiye wokovu wangu.+Huyu ndiye Mungu wangu, nami nitamsifu;+ Mungu wa baba yangu,+ nami nitamwinua juu.+ Zaburi 149:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ili kutekeleza juu yao uamuzi wa hukumu ulioandikwa.+Fahari ya namna hiyo ni ya washikamanifu wake wote.+Msifuni Yah!+ Ufunuo 19:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nami nikasikia kitu kama sauti ya umati mkubwa na kama sauti ya maji mengi na kama sauti ya ngurumo nzito. Wakasema: “Msifuni Yah,+ kwa sababu Yehova Mungu wetu, Mweza-Yote,+ ameanza kutawala akiwa mfalme.+
2 Nguvu zangu na uwezo wangu ni Yah,+ kwa maana yeye ndiye wokovu wangu.+Huyu ndiye Mungu wangu, nami nitamsifu;+ Mungu wa baba yangu,+ nami nitamwinua juu.+
9 Ili kutekeleza juu yao uamuzi wa hukumu ulioandikwa.+Fahari ya namna hiyo ni ya washikamanifu wake wote.+Msifuni Yah!+
6 Nami nikasikia kitu kama sauti ya umati mkubwa na kama sauti ya maji mengi na kama sauti ya ngurumo nzito. Wakasema: “Msifuni Yah,+ kwa sababu Yehova Mungu wetu, Mweza-Yote,+ ameanza kutawala akiwa mfalme.+