Mwanzo 7:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kila kitu ambacho ndani yake pumzi ya nguvu za uhai ilikuwa ikitenda katika mianzi ya pua yake, yaani, vyote ambavyo vilikuwa katika nchi kavu, vikafa.+ Hesabu 27:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Yehova Mungu wa roho+ za namna zote za mwili+ na aweke rasmi juu ya kusanyiko mwanamume+ Zaburi 104:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Ukiuficha uso wako, wanaingiwa na wasiwasi.+Ukiiondoa roho yao, wanakata pumzi,+Na kurudi katika mavumbi yao.+ Mhubiri 12:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kisha mavumbi huirudia nchi+ kama yalivyokuwa, nayo roho+ yenyewe humrudia Mungu+ wa kweli aliyeitoa.+
22 Kila kitu ambacho ndani yake pumzi ya nguvu za uhai ilikuwa ikitenda katika mianzi ya pua yake, yaani, vyote ambavyo vilikuwa katika nchi kavu, vikafa.+
29 Ukiuficha uso wako, wanaingiwa na wasiwasi.+Ukiiondoa roho yao, wanakata pumzi,+Na kurudi katika mavumbi yao.+
7 Kisha mavumbi huirudia nchi+ kama yalivyokuwa, nayo roho+ yenyewe humrudia Mungu+ wa kweli aliyeitoa.+