1 Wakorintho 12:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Lakini sasa Mungu ameviweka viungo katika mwili, kila kimoja, kama vile alivyopenda.+ 1 Wakorintho 12:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Basi ninyi ni mwili wa Kristo, nanyi ni viungo mkiwa mmoja-mmoja.+ Waefeso 5:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 kwa sababu sisi ni viungo vya mwili wake.+