8 Basi, siku zake huko zilipoongezeka, Abimeleki, mfalme wa Wafilisti, alikuwa akiangalia nje dirishani na kutazama mazingira, na tazama, Isaka alikuwa anachezacheza pamoja na Rebeka mke wake.+
6 “Nitie kama muhuri juu ya moyo wako,+ kama muhuri juu ya mkono wako; kwa maana upendo una nguvu kama kifo,+ msisitizo juu ya kujitoa kikamili+ ni wenye kudai kama Kaburi.* Miwako yake ni miwako ya moto, mwali wa moto wa Yah.+