Zaburi 89:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ee Yehova Mungu wa majeshi,+Ni nani aliye na nguvu kama wewe, Ee Yah?+Na uaminifu wako unakuzunguka kotekote.+ Zaburi 118:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Sitakufa, bali nitaendelea kuishi,+Ili nizitangaze kazi za Yah.+ Isaya 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Tazama! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitakuwa na tumaini wala sitakuwa na hofu;+ kwa maana Yah Yehova ni nguvu+ zangu na uwezo+ wangu, naye alikuwa wokovu wangu.”+ 1 Yohana 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yeye ambaye hapendi hajamjua Mungu, kwa sababu Mungu ni upendo.+
8 Ee Yehova Mungu wa majeshi,+Ni nani aliye na nguvu kama wewe, Ee Yah?+Na uaminifu wako unakuzunguka kotekote.+
2 Tazama! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitakuwa na tumaini wala sitakuwa na hofu;+ kwa maana Yah Yehova ni nguvu+ zangu na uwezo+ wangu, naye alikuwa wokovu wangu.”+