Yohana 15:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hakuna aliye na upendo mkuu kuliko huu, kwamba mtu aitoe nafsi yake kwa ajili ya rafiki zake.+ Waroma 16:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 ambao wamehatarisha shingo+ zao wenyewe kwa ajili ya nafsi yangu, ambao si mimi tu bali pia makutaniko yote ya mataifa yanawashukuru;+ Waefeso 5:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Enyi waume, endeleeni kuwapenda wake zenu,+ kama vile Kristo pia alivyolipenda kutaniko na kujitoa mwenyewe kwa ajili yake,+ Ufunuo 12:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nao wakamshinda+ kwa sababu ya damu ya Mwana-Kondoo+ na kwa sababu ya neno la kutoa kwao ushahidi,+ nao hawakupenda nafsi+ zao hata walipokabili kifo.
4 ambao wamehatarisha shingo+ zao wenyewe kwa ajili ya nafsi yangu, ambao si mimi tu bali pia makutaniko yote ya mataifa yanawashukuru;+
25 Enyi waume, endeleeni kuwapenda wake zenu,+ kama vile Kristo pia alivyolipenda kutaniko na kujitoa mwenyewe kwa ajili yake,+
11 Nao wakamshinda+ kwa sababu ya damu ya Mwana-Kondoo+ na kwa sababu ya neno la kutoa kwao ushahidi,+ nao hawakupenda nafsi+ zao hata walipokabili kifo.