8 lakini mtapokea nguvu+ wakati roho takatifu itakapofika juu yenu, nanyi mtakuwa mashahidi+ wangu katika Yerusalemu+ na pia katika Yudea yote na Samaria+ na mpaka sehemu ya mbali zaidi ya dunia.”+
8 Kwa hiyo usione aibu juu ya ule ushahidi kumhusu Bwana wetu,+ wala kunihusu mimi mfungwa kwa ajili yake,+ bali shiriki sehemu yako katika kuvumilia+ uovu kwa ajili ya habari njema kulingana na nguvu za Mungu.+
9 Mimi Yohana, ndugu yenu na mshiriki pamoja nanyi katika dhiki+ na ufalme+ na uvumilivu+ kwa kushirikiana na Yesu,+ nilikuja kuwa katika kisiwa kinachoitwa Patmo kwa sababu ya kusema juu ya Mungu na kutoa ushahidi kumhusu Yesu.+
10 Ndipo nikaanguka chini mbele ya miguu yake ili kumwabudu yeye.+ Lakini yeye ananiambia: “Uwe mwangalifu! Usifanye hivyo!+ Mimi ni mtumwa mwenzako tu na wa ndugu zako walio na kazi ya kutoa ushahidi kumhusu Yesu.+ Mwabudu Mungu;+ kwa maana kutoa ushahidi kumhusu Yesu ndilo kusudi la unabii.”+