Waefeso 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa hiyo mimi, Paulo, mfungwa+ wa Kristo Yesu kwa ajili yenu, watu wa mataifa+— 2 Timotheo 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 ambayo kwa kuhusiana nayo ninavumilia uovu kufikia hatua ya vifungo vya gereza+ kama mtenda-maovu. Hata hivyo, neno la Mungu halifungwi.+
9 ambayo kwa kuhusiana nayo ninavumilia uovu kufikia hatua ya vifungo vya gereza+ kama mtenda-maovu. Hata hivyo, neno la Mungu halifungwi.+