Waefeso 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa hiyo, mimi, niliye mfungwa+ katika Bwana, nawasihi ninyi mtembee kwa kuustahili+ mwito mlioitiwa,+ Waefeso 6:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 ambayo kwa ajili yake ninatenda kama balozi+ aliyefungwa minyororo; ili niweze kusema kuhusiana nayo kwa ujasiri kama ninavyopaswa kusema.+
4 Kwa hiyo, mimi, niliye mfungwa+ katika Bwana, nawasihi ninyi mtembee kwa kuustahili+ mwito mlioitiwa,+
20 ambayo kwa ajili yake ninatenda kama balozi+ aliyefungwa minyororo; ili niweze kusema kuhusiana nayo kwa ujasiri kama ninavyopaswa kusema.+