1 Yohana 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ninawaandikia ninyi, akina baba,+ kwa sababu mmemjua yeye aliye wa tangu mwanzo.+ Ninawaandikia ninyi, vijana, kwa sababu ninyi ni wenye nguvu+ na neno la Mungu hukaa ndani yenu+ nanyi mmemshinda yule mwovu.+
14 Ninawaandikia ninyi, akina baba,+ kwa sababu mmemjua yeye aliye wa tangu mwanzo.+ Ninawaandikia ninyi, vijana, kwa sababu ninyi ni wenye nguvu+ na neno la Mungu hukaa ndani yenu+ nanyi mmemshinda yule mwovu.+