26 “Yeyote akija kwangu naye hamchukii baba yake na mama na mke na watoto na ndugu na dada, ndiyo, na hata nafsi+ yake mwenyewe, hawezi kuwa mwanafunzi wangu.+
24 Hata hivyo, siifanyi nafsi yangu kuwa kitu chenye thamani sana kwangu,+ kama tu ningepata kumaliza mwendo+ wangu na huduma+ niliyopokea+ kutoka kwa Bwana Yesu, kutoa ushahidi kamili kuhusu habari njema ya fadhili zisizostahiliwa za Mungu.+