1 Wakorintho 7:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Isipokuwa, kama Yehova alivyompa kila mmoja fungu,+ kila mmoja na ajiendeshe kama Mungu alivyomwita.+ Na ndivyo ninavyoagiza+ katika makutaniko yote.
17 Isipokuwa, kama Yehova alivyompa kila mmoja fungu,+ kila mmoja na ajiendeshe kama Mungu alivyomwita.+ Na ndivyo ninavyoagiza+ katika makutaniko yote.