9 Yehova Mungu wenu atawaletea mafanikio mengi katika kazi yote ya mikono yenu,+ atawafanya muwe na watoto wengi na mifugo mingi na mazao mengi ya ardhi yenu, kwa maana Yehova atafurahia tena kuwafanikisha, kama alivyofurahia kuwafanikisha mababu zenu.+