Kumbukumbu la Torati 29:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 ili pasiwe kati yenu mwanamume au mwanamke au familia au kabila ambalo moyo wake leo unageuka mbali na Yehova Mungu wetu ili kwenda na kuitumikia miungu ya mataifa hayo;+ ili kusiwe kati yenu mzizi unaozaa tunda la mti wenye sumu na pakanga.+ 1 Samweli 12:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Lakini mkifanya yaliyo mabaya bila kujali, ninyi pamoja na mfalme wenu+ mtafagiliwa mbali.”+ Waebrania 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Jihadharini, akina ndugu, ili moyo mwovu unaokosa imani usije ukasitawi ndani ya yeyote kati yenu kwa kujiondoa kwa Mungu aliye hai;+
18 ili pasiwe kati yenu mwanamume au mwanamke au familia au kabila ambalo moyo wake leo unageuka mbali na Yehova Mungu wetu ili kwenda na kuitumikia miungu ya mataifa hayo;+ ili kusiwe kati yenu mzizi unaozaa tunda la mti wenye sumu na pakanga.+
12 Jihadharini, akina ndugu, ili moyo mwovu unaokosa imani usije ukasitawi ndani ya yeyote kati yenu kwa kujiondoa kwa Mungu aliye hai;+