Mambo ya Walawi 26:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 hakika mimi pia nitawapa ninyi manyunyu yenu ya mvua wakati wake unaofaa,+ nayo nchi itatoa mazao yake,+ nao mti wa shambani utatoa matunda yake.+ Zaburi 67:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Hakika dunia itatoa mazao yake;+Mungu, Mungu wetu, atatubariki.+ 2 Wakorintho 9:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi yeye ambaye humgawia mpandaji wa mbegu kwa wingi na mkate wa kula+ atawagawia na kuwazidishia ninyi mbegu ili mpande naye ataongeza mazao ya uadilifu wenu.)+
4 hakika mimi pia nitawapa ninyi manyunyu yenu ya mvua wakati wake unaofaa,+ nayo nchi itatoa mazao yake,+ nao mti wa shambani utatoa matunda yake.+
10 Basi yeye ambaye humgawia mpandaji wa mbegu kwa wingi na mkate wa kula+ atawagawia na kuwazidishia ninyi mbegu ili mpande naye ataongeza mazao ya uadilifu wenu.)+