5 Na Daudi na nyumba yote ya Israeli walikuwa wakisherehekea mbele za Yehova kwa namna zote za vyombo vya mbao za mberoshi na kwa vinubi+ na kwa vinanda+ na kwa matari+ na kwa matasa na kwa matoazi.+
12 Na mfalme akatengeneza kwa zile mbao za misandali vitegemeo kwa ajili ya nyumba ya Yehova+ na kwa ajili ya nyumba ya mfalme, na pia vinubi+ na vinanda+ kwa ajili ya waimbaji. Mbao za misandali kama hizo hazijaletwa wala kuonekana mpaka leo hii.
5 Asafu+ akiwa kichwa, na wa pili kwake Zekaria, na Yeieli na Shemiramothi na Yehieli na Matithia na Eliabu na Benaya na Obed-edomu na Yeieli,+ wakiwa na vyombo vya aina ya vinanda na vinubi,+ na Asafu+ akiwa na matoazi akiyapiga kwa sauti,+