16 Tafadhali basi, bwana wetu na aamuru watumishi wako walio mbele yako kwamba watafute mtu mwenye ustadi,+ anayepiga kinubi.+ Na itatukia kwamba wakati roho mbaya ya Mungu inapokuja juu yako, yeye atakipiga kwa mkono wake, na mambo yatakuendea vema.”