1 Mambo ya Nyakati 13:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na Daudi na Israeli wote walikuwa wakisherehekea+ mbele za Mungu wa kweli kwa nguvu kamili na kwa nyimbo+ na kwa vinubi+ na kwa vinanda+ na kwa matari+ na kwa matoazi na kwa tarumbeta.+ Zaburi 150:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Msifuni kwa matoazi yenye sauti tamu.+Msifuni kwa matoazi ya kugonganishwa.+
8 Na Daudi na Israeli wote walikuwa wakisherehekea+ mbele za Mungu wa kweli kwa nguvu kamili na kwa nyimbo+ na kwa vinubi+ na kwa vinanda+ na kwa matari+ na kwa matoazi na kwa tarumbeta.+