2 Tutakapoachana leo, utakuta wanaume wawili karibu na kaburi la Raheli+ katika eneo la Benjamini kule Selsa, nao watakwambia, ‘Punda ulioenda kutafuta wamepatikana, lakini sasa baba yako amesahau kuhusu punda hao+ naye ana wasiwasi juu yako. Anauliza, “Nitafanya nini kuhusu mwanangu?”’