3 Na punda-jike+ za Kishi baba ya Sauli wakapotea. Basi Kishi akamwambia Sauli mwana wake: “Tafadhali, chukua pamoja nawe mmoja wa watumishi, uondoke, uende kuwatafuta hao punda-jike.”
16 Sauli naye akamwambia ndugu ya baba yake: “Alituambia kwa uhakika kwamba wale punda-jike walikuwa wamepatikana.” Lakini yeye hakumwambia lile jambo la ufalme, ambalo Samweli alikuwa amesema.+