Zaburi 141:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Uweke mlinzi, Ee Yehova, kwa ajili ya kinywa changu;+Uweke mwangalizi juu ya mlango wa midomo yangu.+ Methali 10:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Katika wingi wa maneno hapakosi kuwa na kosa,+ lakini anayezuia midomo yake anatenda kwa busara.+ Methali 13:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Anayelinda kinywa chake anaitunza nafsi yake.+ Anayefungua wazi midomo yake—yeye atapata uharibifu.+ Methali 21:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Anayelinda kinywa chake na ulimi wake anailinda nafsi yake isipate taabu.+ Methali 27:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mwingine na akusifu, wala si kinywa chako mwenyewe; mgeni na afanye hivyo, wala si midomo yako mwenyewe.+ Yeremia 9:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yehova amesema hivi: “Mtu mwenye hekima asijigambe kwa sababu ya hekima yake,+ wala mwanamume mwenye nguvu asijigambe kwa sababu ya nguvu zake.+ Mtu tajiri asijigambe kwa sababu ya utajiri wake.”+
3 Uweke mlinzi, Ee Yehova, kwa ajili ya kinywa changu;+Uweke mwangalizi juu ya mlango wa midomo yangu.+
3 Anayelinda kinywa chake anaitunza nafsi yake.+ Anayefungua wazi midomo yake—yeye atapata uharibifu.+
2 Mwingine na akusifu, wala si kinywa chako mwenyewe; mgeni na afanye hivyo, wala si midomo yako mwenyewe.+
23 Yehova amesema hivi: “Mtu mwenye hekima asijigambe kwa sababu ya hekima yake,+ wala mwanamume mwenye nguvu asijigambe kwa sababu ya nguvu zake.+ Mtu tajiri asijigambe kwa sababu ya utajiri wake.”+