1 Samweli 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Baadaye ndugu ya baba ya Sauli akamuuliza Sauli na mtumishi wake: “Mlienda wapi?” Akajibu: “Kuwatafuta punda,+ lakini hatukuwapata, kwa hiyo tukaenda kwa Samweli.”
14 Baadaye ndugu ya baba ya Sauli akamuuliza Sauli na mtumishi wake: “Mlienda wapi?” Akajibu: “Kuwatafuta punda,+ lakini hatukuwapata, kwa hiyo tukaenda kwa Samweli.”