1 Samweli 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Baadaye ndugu ya baba ya Sauli akamwambia yeye na mtumishi wake: “Mlienda wapi?” Naye akasema: “Kuwatafuta wale punda-jike,+ nasi tukaendelea kwenda ili tuone, lakini hawakuwapo. Basi tukaenda kwa Samweli.”
14 Baadaye ndugu ya baba ya Sauli akamwambia yeye na mtumishi wake: “Mlienda wapi?” Naye akasema: “Kuwatafuta wale punda-jike,+ nasi tukaendelea kwenda ili tuone, lakini hawakuwapo. Basi tukaenda kwa Samweli.”