19 Na Gideoni akaingia ndani, akatayarisha mwana-mbuzi+ na efa ya unga kuwa keki zisizo na chachu.+ Akaweka nyama katika kikapu, mchuzi akauweka katika chungu cha kupikia, kisha akamletea hapo nje chini ya ule mti mkubwa, akavipakua.
15Na ikawa kwamba baada ya muda, katika siku za mavuno ya ngano, Samsoni akaenda kumtembelea mke wake akiwa na mwana-mbuzi.+ Basi akasema: “Nitaingia kwa mke wangu katika chumba cha ndani.”+ Na baba ya mwanamke huyo hakumruhusu kuingia.