-
Alivumilia Licha ya Kuvunjwa MoyoMnara wa Mlinzi—2011 | Januari 1
-
-
Hata hivyo, Samweli alionyesha utii wake jinsi gani? Kwa kinyongo, bila kujali? Je, aliruhusu vivunja moyo viathiri moyo wake, na kuwa mwenye uchungu? Watu wengi wangefanya hivyo, lakini si Samweli. Alimtia Sauli mafuta na kusema kuwa huyo ndiye ambaye Yehova amemchagua. Alimbusu kama ishara ya kumkaribisha na ya ujitiisho kwa mfalme huyo mpya.
-