Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 19:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Mara moja Sauli akatuma wajumbe wamkamate Daudi. Nao walipowaona walio wazee kati ya manabii wakitoa unabii, na Samweli akiwa amesimama katika cheo chake juu yao, roho+ ya Mungu ikaja juu ya wale wajumbe wa Sauli, nao pia wakaanza kutenda kama manabii.+

  • 2 Wafalme 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ndipo wana wa manabii+ waliokuwa katika Betheli wakamjia Elisha na kumwambia: “Je, kweli unajua kwamba leo Yehova anamchukua bwana wako asiwe kichwa juu yako?”+ Naye akasema: “Mimi pia najua vema jambo hilo.+ Kaeni kimya.”

  • 2 Wafalme 4:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Na Elisha mwenyewe akarudi Gilgali,+ na kulikuwa na njaa+ katika nchi. Baada ya muda, wana+ wa manabii walipokuwa wamekaa mbele yake,+ akamwambia mtumishi+ wake: “Tia kile chungu kikubwa cha kupikia, uwatokosee mchuzi wana wa manabii.”+

  • 2 Wafalme 6:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na wana+ wa manabii wakaanza kumwambia Elisha: “Tazama, sasa! Mahali+ tunapokaa mbele yako ni padogo+ mno kwetu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki