Mwanzo 28:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Tena, akaita jina la mahali hapo Betheli,+ lakini ukweli ni kwamba, hapo zamani jina la jiji hilo lilikuwa ni Luzi.+ Mwanzo 28:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Na jiwe hili ambalo nimesimamisha kuwa nguzo litakuwa nyumba ya Mungu,+ na katika kila kitu utakachonipa bila shaka nitakupa wewe sehemu ya kumi.”+ 1 Samweli 7:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Naye akasafiri mwaka baada ya mwaka na kufanya mzunguko wa Betheli+ na Gilgali+ na Mispa+ na kuhukumu Israeli+ katika sehemu hizo zote.
19 Tena, akaita jina la mahali hapo Betheli,+ lakini ukweli ni kwamba, hapo zamani jina la jiji hilo lilikuwa ni Luzi.+
22 Na jiwe hili ambalo nimesimamisha kuwa nguzo litakuwa nyumba ya Mungu,+ na katika kila kitu utakachonipa bila shaka nitakupa wewe sehemu ya kumi.”+
16 Naye akasafiri mwaka baada ya mwaka na kufanya mzunguko wa Betheli+ na Gilgali+ na Mispa+ na kuhukumu Israeli+ katika sehemu hizo zote.