40 Kisha watu wote wakapanda wakiwa wanamfuata, na watu walikuwa wakipiga filimbi+ na kushangilia kwa shangwe kubwa,+ hivi kwamba dunia+ ikapasuka kwa sababu ya kelele zao.
12 Na kutakuwa na kinubi na kinanda, tari na filimbi, na divai katika karamu zao;+ lakini hawauangalii utendaji wa Yehova, wala hawakuiona kazi ya mikono yake.+