19 Naye mfalme akaanza kusema nao, na kati yao wote hakupatikana yeyote aliye kama Danieli, Hanania, Mishaeli na Azaria;+ nao wakaendelea kusimama mbele ya mfalme.+
49 Naye Danieli akatoa ombi kwa mfalme, naye akaweka Shadraki, Meshaki na Abednego+ juu ya usimamizi wa wilaya ya utawala ya Babiloni, lakini Danieli akawa katika makao ya mfalme.+