31 Na hivyo ikawa kupitia wasemaji wa wakuu wa Babiloni+ waliotumwa kwake+ ili kuuliza habari za ile ishara+ iliyotendeka katika nchi, Mungu wa kweli akamwacha+ ili kumjaribu,+ apate kujua kila jambo lililokuwa moyoni mwake.+
8 Tazama, ninafanya kivuli cha vipandio ambacho kilikuwa kimeshuka juu ya vile vipandio vya ngazi ya Ahazi kwa sababu ya jua+ kirudi nyuma vipandio kumi.”’”+ Na jua likarudi nyuma polepole vipandio kumi juu ya vipandio vya ngazi ambavyo lilikuwa limeshuka.+