Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 10:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ndipo Yoshua akaanza kusema na Yehova siku ile ambayo Yehova aliwatia Waamori mikononi mwa wana wa Israeli, naye akasema machoni pa Israeli:

      “Ewe jua,+ simama tuli juu ya Gibeoni,+

      Nawe mwezi, juu ya nchi tambarare ya chini ya Aiyaloni.”+

  • 2 Mambo ya Nyakati 32:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Na hivyo ikawa kupitia wasemaji wa wakuu wa Babiloni+ waliotumwa kwake+ ili kuuliza habari za ile ishara+ iliyotendeka katika nchi, Mungu wa kweli akamwacha+ ili kumjaribu,+ apate kujua kila jambo lililokuwa moyoni mwake.+

  • Isaya 38:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Tazama, ninafanya kivuli cha vipandio ambacho kilikuwa kimeshuka juu ya vile vipandio vya ngazi ya Ahazi kwa sababu ya jua+ kirudi nyuma vipandio kumi.”’”+ Na jua likarudi nyuma polepole vipandio kumi juu ya vipandio vya ngazi ambavyo lilikuwa limeshuka.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki