12 Wakati huo Berodak-baladani+ mwana wa Baladani mfalme wa Babiloni+ alimtumia Hezekia barua+ na zawadi; kwa maana alikuwa amesikia kwamba Hezekia alikuwa mgonjwa.
39Wakati huo Marodak-baladani+ mwana wa Baladani mfalme wa Babiloni+ alimtumia Hezekia barua na zawadi,+ baada ya kusikia kwamba alikuwa mgonjwa lakini amepata nguvu tena.+