2 Mambo ya Nyakati 32:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na kulikuwa na watu wengi waliokuwa wakileta zawadi+ kwa Yehova katika Yerusalemu na vitu bora kwa Hezekia mfalme wa Yuda,+ naye akaja kuinuliwa+ machoni pa mataifa yote baada ya hayo.
23 Na kulikuwa na watu wengi waliokuwa wakileta zawadi+ kwa Yehova katika Yerusalemu na vitu bora kwa Hezekia mfalme wa Yuda,+ naye akaja kuinuliwa+ machoni pa mataifa yote baada ya hayo.