Isaya 39:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Wakati huo mfalme wa Babiloni, Merodak-baladani mwana wa Baladani alimtumia Hezekia barua na zawadi,+ kwa maana alisikia kwamba alikuwa mgonjwa na sasa amepona.+ Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 39:1 Neno la Mungu, uku. 118
39 Wakati huo mfalme wa Babiloni, Merodak-baladani mwana wa Baladani alimtumia Hezekia barua na zawadi,+ kwa maana alisikia kwamba alikuwa mgonjwa na sasa amepona.+