Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 20:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Rudi ukamwambie Hezekia, kiongozi wa watu wangu, ‘Yehova Mungu wa Daudi babu yako anasema hivi: “Nimesikia sala yako. Nimeona machozi yako.+ Tazama, ninakuponya.+ Siku ya tatu utapanda kwenda katika nyumba ya Yehova.+

  • 2 Wafalme 20:12, 13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wakati huo mfalme wa Babiloni, Berodak-baladani mwana wa Baladani, akamtumia Hezekia barua na zawadi, kwa maana alisikia kwamba Hezekia alikuwa mgonjwa.+ 13 Hezekia akawakaribisha* na kuwaonyesha nyumba yake yote yenye hazina+—fedha, dhahabu, mafuta ya zeri na mafuta mengine yenye thamani, ghala lake la silaha, na kila kitu kilichokuwa katika hazina zake. Hakuna kitu chochote ambacho Hezekia hakuwaonyesha katika nyumba yake mwenyewe* na katika milki yake yote.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki