Isaya 39:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Wakati huo Marodak-baladani+ mwana wa Baladani mfalme wa Babiloni+ alimtumia Hezekia barua na zawadi,+ baada ya kusikia kwamba alikuwa mgonjwa lakini amepata nguvu tena.+ Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 39:1 Neno la Mungu, uku. 118
39 Wakati huo Marodak-baladani+ mwana wa Baladani mfalme wa Babiloni+ alimtumia Hezekia barua na zawadi,+ baada ya kusikia kwamba alikuwa mgonjwa lakini amepata nguvu tena.+