2 Wafalme 20:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wakati huo Berodak-baladani+ mwana wa Baladani mfalme wa Babiloni+ alimtumia Hezekia barua+ na zawadi; kwa maana alikuwa amesikia kwamba Hezekia alikuwa mgonjwa.
12 Wakati huo Berodak-baladani+ mwana wa Baladani mfalme wa Babiloni+ alimtumia Hezekia barua+ na zawadi; kwa maana alikuwa amesikia kwamba Hezekia alikuwa mgonjwa.