2 Ndipo Daudi akasema: “Nitamwonyesha fadhili zenye upendo Hanuni mwana wa Nahashi, kama vile baba yake alivyonionyesha fadhili zenye upendo.”+ Basi Daudi akatuma ujumbe kupitia kwa watumishi+ wake ili kumfariji kwa sababu ya baba yake, na watumishi wa Daudi wakaingia katika nchi ya wana wa Amoni.