2 Ndipo Daudi akasema: “Nitamwonyesha fadhili zenye upendo+ Hanuni mwana wa Nahashi, kwa sababu baba yake alinionyesha fadhili zenye upendo.”+ Basi Daudi akatuma wajumbe ili kumfariji kwa sababu ya baba yake, na watumishi wa Daudi wakaingia katika nchi ya wana wa Amoni+ kwa Hanuni ili kumfariji.