2 Wafalme 20:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Isaya akasema: “Hii ndiyo ishara+ kwa ajili yako kutoka kwa Yehova kwamba Yehova atatenda neno ambalo amesema: Je, kivuli kiende mbele vipandio kumi vya ngazi au kirudi nyuma vipandio kumi?” 2 Mambo ya Nyakati 32:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Katika siku hizo Hezekia akawa mgonjwa kufikia hatua ya kufa,+ naye akaanza kusali+ kwa Yehova. Basi Yeye akasema naye,+ na Yeye akampa ishara.+
9 Isaya akasema: “Hii ndiyo ishara+ kwa ajili yako kutoka kwa Yehova kwamba Yehova atatenda neno ambalo amesema: Je, kivuli kiende mbele vipandio kumi vya ngazi au kirudi nyuma vipandio kumi?”
24 Katika siku hizo Hezekia akawa mgonjwa kufikia hatua ya kufa,+ naye akaanza kusali+ kwa Yehova. Basi Yeye akasema naye,+ na Yeye akampa ishara.+