Zaburi 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Sikiliza kwa makini sauti ya kilio changu kwa ajili ya msaada,+Ee Mfalme+ wangu na Mungu wangu, kwa maana kwako wewe ninasali.+ Isaya 38:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ndipo Hezekia akageuza uso wake kuelekea ukuta,+ akaanza kusali kwa Yehova+ Wafilipi 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Msihangaike juu ya kitu chochote,+ bali katika kila jambo kwa sala na dua+ pamoja na kutoa shukrani maombi yenu na yajulishwe Mungu;+
2 Sikiliza kwa makini sauti ya kilio changu kwa ajili ya msaada,+Ee Mfalme+ wangu na Mungu wangu, kwa maana kwako wewe ninasali.+
6 Msihangaike juu ya kitu chochote,+ bali katika kila jambo kwa sala na dua+ pamoja na kutoa shukrani maombi yenu na yajulishwe Mungu;+