Zaburi 44:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wewe mwenyewe ni Mfalme wangu, Ee Mungu.+Amuru wokovu mkuu kwa ajili ya Yakobo.+ Zaburi 74:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Hata hivyo Mungu ni Mfalme wangu tangu zamani za kale,+Yeye anayefanya wokovu mkuu katikati ya dunia.+ Zaburi 145:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 145 Nitakutukuza, Ee Mungu wangu Mfalme,+Nami nitalibariki jina lako mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+ Isaya 33:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana Yehova ni Mwamuzi+ wetu, Yehova ni Mpaji-sheria+ wetu, Yehova ni Mfalme+ wetu; yeye mwenyewe atatuokoa.+
12 Hata hivyo Mungu ni Mfalme wangu tangu zamani za kale,+Yeye anayefanya wokovu mkuu katikati ya dunia.+
145 Nitakutukuza, Ee Mungu wangu Mfalme,+Nami nitalibariki jina lako mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+
22 Kwa maana Yehova ni Mwamuzi+ wetu, Yehova ni Mpaji-sheria+ wetu, Yehova ni Mfalme+ wetu; yeye mwenyewe atatuokoa.+