Zaburi 24:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Basi, yeye ni nani, huyo Mfalme mtukufu?”“Yehova wa majeshi—yeye ndiye Mfalme mtukufu.”+ Sela. Zaburi 74:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Hata hivyo Mungu ni Mfalme wangu tangu zamani za kale,+Yeye anayefanya wokovu mkuu katikati ya dunia.+ Isaya 33:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana Yehova ni Mwamuzi+ wetu, Yehova ni Mpaji-sheria+ wetu, Yehova ni Mfalme+ wetu; yeye mwenyewe atatuokoa.+
12 Hata hivyo Mungu ni Mfalme wangu tangu zamani za kale,+Yeye anayefanya wokovu mkuu katikati ya dunia.+
22 Kwa maana Yehova ni Mwamuzi+ wetu, Yehova ni Mpaji-sheria+ wetu, Yehova ni Mfalme+ wetu; yeye mwenyewe atatuokoa.+