2 Wafalme 20:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa hiyo Isaya nabii akaanza kumwita Yehova; naye akafanya kile kivuli ambacho kilikuwa kimeshuka kirudi nyuma juu ya vile vipandio, yaani, juu ya vile vipandio vya ngazi ya Ahazi, vipandio kumi kurudi nyuma.+
11 Kwa hiyo Isaya nabii akaanza kumwita Yehova; naye akafanya kile kivuli ambacho kilikuwa kimeshuka kirudi nyuma juu ya vile vipandio, yaani, juu ya vile vipandio vya ngazi ya Ahazi, vipandio kumi kurudi nyuma.+