Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kila Mtu Ataketi Chini ya Mtini Wake
    Mnara wa Mlinzi—2003 | Mei 15
    • Abigaili, mwanamke mwenye busara alimpa Daudi keki 200 za tini zilizoshinikizwa na yaelekea alifikiri kwamba zilikuwa chakula kinachowafaa watoro. (1 Samweli 25:18, 27) Tini zilizoshinikizwa zilitumiwa pia kama dawa. Tini zilizokauka ambazo zilishinikizwa na kufanywa laini zilipakwa kwenye jipu lililohatarisha maisha ya Mfalme Hezekia, ingawa baadaye Mungu hasa ndiye aliyemponya.a—2 Wafalme 20:4-7.

  • Kila Mtu Ataketi Chini ya Mtini Wake
    Mnara wa Mlinzi—2003 | Mei 15
    • a H. B. Tristram, mtaalamu wa mimea na viumbe ambaye alizuru nchi zinazotajwa katika Biblia katikati ya karne ya 19, alisema kwamba watu wa huko bado hutumia tini zilizoshinikizwa na kufanywa laini kutibu majipu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki