Zaburi 50:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na uniite katika siku ya taabu.+Nitakuokoa, nawe utanitukuza.”+ Zaburi 116:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana yeye amenitegea sikio lake,+Nami nitaita siku zangu zote.+ Isaya 38:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ndipo Hezekia akageuza uso wake kuelekea ukuta,+ akaanza kusali kwa Yehova+ Mathayo 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini wewe unaposali, ingia ndani ya chumba chako cha faragha+ na, baada ya kufunga mlango wako, sali kwa Baba yako aliye mahali pa siri;+ ndipo Baba yako anayetazama akiwa mahali pa siri atakulipa. Wafilipi 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Msihangaike juu ya kitu chochote,+ bali katika kila jambo kwa sala na dua+ pamoja na kutoa shukrani maombi yenu na yajulishwe Mungu;+
6 Lakini wewe unaposali, ingia ndani ya chumba chako cha faragha+ na, baada ya kufunga mlango wako, sali kwa Baba yako aliye mahali pa siri;+ ndipo Baba yako anayetazama akiwa mahali pa siri atakulipa.
6 Msihangaike juu ya kitu chochote,+ bali katika kila jambo kwa sala na dua+ pamoja na kutoa shukrani maombi yenu na yajulishwe Mungu;+