Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 25:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Mara moja Abigaili+ akafanya haraka, akachukua mikate mia mbili na mitungi miwili mikubwa ya divai+ na kondoo watano+ na vipimo vitano vya sea vya nafaka iliyochomwa+ na keki mia moja za zabibu kavu+ na keki mia mbili za tini zilizoshinikizwa,+ akazipakia juu ya punda.

  • 1 Samweli 30:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Zaidi ya hayo, wakampa kipande cha keki ya tini zilizoshinikizwa na keki mbili za zabibu kavu.+ Ndipo akala na roho+ yake ikarudi kwake; kwa maana hakuwa amekula mkate wala kunywa maji kwa siku tatu, mchana na usiku.

  • 1 Mambo ya Nyakati 12:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Na pia wale waliokuwa karibu nao, hata mpaka Isakari+ na Zabuloni+ na Naftali,+ wakawa wakileta chakula juu ya punda+ na juu ya ngamia na juu ya nyumbu na juu ya ng’ombe, vyakula vya unga,+ keki za tini zilizoshinikizwa+ na keki za zabibu kavu+ na divai+ na mafuta+ na ng’ombe+ na kondoo+ kwa wingi sana, kwa maana kulikuwa na shangwe+ katika Israeli.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki