2 Wafalme 18:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na ikawa katika mwaka wa tatu wa Hoshea+ mwana wa Ela mfalme wa Israeli kwamba Hezekia+ mwana wa Ahazi+ mfalme wa Yuda akawa mfalme. Mathayo 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hezekia akamzaa Manase;+Manase+ akamzaa Amoni;+Amoni+ akamzaa Yosia;
18 Na ikawa katika mwaka wa tatu wa Hoshea+ mwana wa Ela mfalme wa Israeli kwamba Hezekia+ mwana wa Ahazi+ mfalme wa Yuda akawa mfalme.